Wewe
104

[Verse 1] - Young Lunya

Baby una bonge la shape, sura pia,

Bonge la upaja na guu la bia,

Mtaani, mtaani wanakunyatia,

Eti nnapokula mi wanataka kula pia, mmh!

Sema mwingine I don't see,

Haters wanabaki like OMG (OMG)

Wanafki nao oh hooh,

Hawawashi.. pilipili hoho,

Baby la kichaga, shimboni

Baby we ni maji, shingoni

Baby we ni mwisho, ukingoni

Baby una utundu wa kingoni

Na pozi za kisister du,

Chini nikila AirMax we ni viatu vya juu,

Tumetoka mbali hawajui,

Tumetoka mbali, M-Rap, Hawajui

[Chorus] - Young Lunya

Oh baby it's you, unanifanya nifurahi

Kila saa natabasamu,

Oh baby it's true, unaponiangalia

Unaniteka tena sana

So nkaona bora nibaki na wewe

(Bora nibaki na wewe) - x 3

[Verse] - Salmin Swaggz & Young Lunya

Mara ya kwanza namuona alikua anatoka class,

Ili ajue sinywi pombe nikaficha glass,

Daftari likanihusu.. maana ana class,

So, akaniruhusu mi nikampa trust,

No negativity tukaenda dhibiti,

Maneno ya marafiki tukayafunga kama vizingiti,

Told her about the games that I don't play, (Don't play)

Kabla sijasema she know what I'm gon' say, (Gon' say)

You know my family, you know my whole spirit,

Nishatembea na madem wana hoe spirit, (Hoe spirit baby)

Nawapa wanachezea but they don't steal it,

It's coming from my heart so I know you feel it,

[Hook] - Young Lunya

We... na wewe,

Utakapoishi we,

Nataka niishi na wewe

[Chorus] - Young Lunya

Oh baby it's you, unanifanya nifurahi

Kila saa natabasamu,

Oh baby it's true, unaponiangalia

Unaniteka tena sana

So nkaona bora nibaki na wewe

(Bora nibaki na wewe) - x 3

[Bridge] - Conboi

Tumetoka mbali, tunakwenda mbali nataka ufike na mimi girl,

Twende nyumbani ukawaone wazazi, yeah

Nampenda mpenda she knows that (She know dat)

Sintomtenda she knows that (She know dat)

Nampenda mpenda she knows...

Sintomtenda, mi nampenda

[Verse] - Country Boy

Ipite siku sijakuona moyo utanidunda,

Kwa uzuri ulio nao sijui kama utachunda,

Mungu akupe nini, we zaidi ya dini,

Mi mshamba wa mapenzi ukicheche za watoto wa mjini, haah

Nataka siku uniite husby, haah

Tuzae watoto waniite daddy,

Sitoi boko mechi zote mi ni shuti ndani,

Unanidatisha unaposema I'm coming...

[Outro] - Young Lunya

Bora nibaki na wewe x4

Mama we, bora nibaki na wewe

Wengine wananichanganya changanya nkaona bora wewe


  Purchase "Wewe"   Purchase Entire Album   Email Video to Friends   Play Youtube "Wewe" Video   Play Spotify "Wewe" Song   View Wikipedia "Wewe" Entry   Receive Emails for Future 104 Lyrics

Email:

  Link to "Wewe"   Share on Facebook, Twitter, and more
  See Recommended Lyrics For You

Loading...

Lyrics by 104

Related Songs