Binti Kiziwi
Z Anton

Verse

Nimpate vipi mi sijui, ninaimani mapenzi hayajuiiihi

Nitapata ugojwa wa moyo, kwa sababu ya mawazo Ninavyojuwa maisha yake, hajawai kuwa na boyfriend

Ila ni mimi wakwanza naninashindwa kumpata

Kwa ishara inaonekana nampenda, yeye eti ninamzingua Eti ingelikuwa anaskia, basi ukweli wangu angeujua

Kwa ishara inaonekana nampenda, yeye eti ninamzingua Eti ingelikuwa anaskia, basi ukweli wangu angeujua Ningelizoe rafiki yakee basi ye ni,ningemtumaaaa Ningezitambua ishara zake basi mi kwake ningefika Ningelizoe rafiki yakee basi ye ni,ningemtumaaaa Ningezitambua ishara zake basi mi kwake ningefika

Chorus

Si siri ninampenda binti kiziwi

Moyo wangu wamoteka binti kiziwi

Si siri nataseka juu yake, ye binti kiziwi

Si siri ninampenda binti kiziwi

Kwakuwa moyo wangu wamouteka binti kiziwi

Kichwa kinauma mawazo kwake binti kiziwiiii

Verse 2

Nashangaa pale nampomkutaaa, akiwa nawenzake wanaongeaaa Huwa najiuliza mimi, wanaongea,naye vipiiii Nashangaa napo muitaa,nahisi huwa anakata

Sijui ndio hasiki, au mapozi, au mapozi naye

Afadhali angejuae kusomae,hatachale kiumbe ningempa Eti kama ningejuwa isharaaa,basi kwake ningefika mimi Afadhali angejuwa kusomae, hata mbonge kiumbee ningempa Etikama ningejua isharaa,mbasi kwake ningefika baby

Chorus

Si siri ninampenda binti kiziwi

Moyo wangu wamoteka binti kiziwi

Si siri nataseka juu yake,ye binti kiziwi

Si siri ninampenda binti kiziwi Kwa moyo wangu wamouteka binti kiziwi

Kichwa kinauma mawazo kwake binti kiziwi

Rap Verse

Binti kiziwi yuko full yani yuko bombaa

Amenidatisha mnyamwezi nayake figure

Tatizo moja tu ambalo mimi hulinasibu

Kila kukicha hata inikiwaza mimi sipati jibu

Nikimwambia neno i luv you wala halijuwi

Nikimwambie neno i need you halitambui

Nikimwimbia nyimbo nzuri hata sikiii

Pingu nasikitika nikimwona mbinti kiziwi

Nikimwambia neno i luv you wala halijuwi

Nikimwambie neno i need you halitambui

Nikimwimbia nyimbo nzuri hata sikiii

Pingu nasikitika nikimwona mbinti kiziwi

Bridge

Hatakusema neno i luv youuu kwake halijui

Hatakusema neno i need youuu kwake halitambui Hatakusema neno i luv youuu kwake halijui

Hatakusema neno i need youuu kwake halitambui Baby,baby baby,booo,

baby i love you Ingawa nateseka naye,

baby i need you Baby, baby, booo(uhuu),

baby i love you (uhuhu) Baby (tuhuu) baby,

i need you (uhu) Repeat Chorus till fade


  Purchase "Binti Kiziwi"   Purchase Entire Album   Email Video to Friends   Play Youtube "Binti Kiziwi" Video   Play Spotify "Binti Kiziwi" Song   View Wikipedia "Binti Kiziwi" Entry   Receive Emails for Future Z Anton Lyrics

Email:

  Link to "Binti Kiziwi"   Share on Facebook, Twitter, and more
  See Recommended Lyrics For You

Loading...

Lyrics by Z Anton

Related Songs